Powered By Blogger

Monday, August 22, 2011

HUU NDIYO MWISHO WA GADAFI?

Wapiganaji wa ukombozi wa Libya wameingia mjini Tripoli na jambo la kushangaza ni kuwa wameingia bila kupata upinzani mkubwa. Mpaka sasa watoto wa Gadafi wamekamatwa ingawa pia kuna taarifa ZISIZOTHIBITISHWA kuwa Gadaffi mwenyewe amekamatwa.
NATO ducks apology over Libya rebel deaths Libyan rebels reshuffle leadership


Super Comrade Gadaffi

Comrade Gadafi na poz za kukata tamaa au kutafakari?

Mashabiki wa Baraza la mpito wakiwa mjini Benghazi

Moja ya watoto wa Gaddafi

Wazee wa kazi wakiwa mjini Tripoli




Sherehe za ushindi zimeanza

No comments:

Post a Comment